Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2017

MWIGIZAJI BALAYA Sehemu Ya 1

MWIGIZAJI BALAYA {The Prostitute Actor} Sehemu Ya 1 Mtunzi..... MoonBoy Simu No. +255714419487 WhatsApp Ilipoishia Jana →↓↓↓↓← Sasa siku hio ilikua ni siku ya kikao cha usiku, baina ya watu wote.. Yaani familia nzima na alioitisha mkutano huo ni dada batuli kana kwamba ndio anataka kuliongelea lile swala la mimi kwenda Dar es Salaam... Na mimi nilikuepo kwa pembeni nimewategea tu skio langu,... "ndugu wazazi wangu wapendwa... Leo nimewaita hapa nina ombi moja kwenu japo sio la muhimu sana jwenu....  Aahhh kama mnavyojua kazi zangu mimi ni uigizaji, na katika tasnia yetu hua hatuweki mtu ilimladi mtu bali tunaangalia kipaji cha mtu ili aweze kukava ile nafasi husika, na nimeona kuna nafasi sheby anaiweza...." Kila mmoja alianza kutoa macho huku mzee mwenyewe akiuliza, kua "Uu..u..uu...unasemaje we mtoto" "baba na ndugu zangu wote... Nataka niondoke na sheby, tukaishi Dar es Salaam ili akijue kipaji chake... " Mara mzee akaamka kwa hasira huku ak...

FUNDI CHEREHANI Sehemu Ya 1

FUNDI CHEREHANI Sehemu Ya 1 Mtunzi..... MoonBoy Simu No. +255714419487 WhatsApp Ilipoishia Jana →↓↓ JAMANI NDUGU WASOMAJI WA STORY ZANGU,.... STORY HII YA FUNDI CHEREHANI, NI STORY ILIYO TOKANA NA STORY ILIOPITA... IITWAYO SECONDARY SCHOOL NA NADHALI HILO CHOMBEZO WENGI MLILISOMA VIZURI NA PIA NATUMAINI MTAKUA MUMELIMALIZA MPAKA MWISHO..... ILA KWA WEWE AMBAE HUKUISOMA SECONDARY SCHOOL, BASI NAKUAMBIA KUA HILI CHOMBEZO LA FUNDI CHEREHANI HUTOLIELEWA KABISA, MAANA MAUDHUI YOTE YALIOPO HUMU YAMETOKANA NA HIO STORY AU CHOMBEZO LA SECONDARY SCHOOL....  HIVYO KWA USHAURI WANGU KWAKO NINGEONBA UKAIANZE KUISOMA HIO KISHA UJE KUISOMA NA HII...  MAANA NI SAWA NA KUANGALIA MUVI PART 2 WAKATI PART ONE HUJAIONA..... UTANGULIZI WA CHOMBEZO AU STORY AU SIMULIZI AU HADITH... VYOVYOTE UTAKAVYOIITA LAKINI KITU NI KILE KILE FUNDI CHEREHANI NI SIMULIZI INAYO MHUSU KIJANA MMOJA AMBAE ALIYACHEZEA MAISHA PINDI ALIPOKUA KWAO JIJINI ARUSHA, KIJANA HUYO ALIKUJA KUFIRISIJA BAADA YA KUHONGA MALI Z...

SECONDARY SCHOOL Sehemu Ya 1

SECONDARY SCHOOL Sehemu Ya 1 Mtunzi..... MoonBoy Simu No. +255714419487 WhatsApp Inapoanzia Rasmiiii STORY HII INAITWA SECONDARY SCHOOL AU KWA KISWAHILI NI ( SHULE YA UPILI )..... KWAHIO PIA WAWEZA KUIITA HIVYO TU BASI Story hiii mimi ni mtoto wa kitajiri ile mbaya... na wakiume nipo mimi mwenyewe na nina dada zangu wawili wenye asili ya kiarabu. kwani mama yangu yeye pia ana asili ya kiarabu..... Ninae dada yangu ambae ana umri wa miaka 25 huyo ni wa kwanza na keshamaliza shule muda tu... kisha ninae dada yangu mwingine ambae tumefuatana.. yeye ana umri wa miaka 22 na yeye bado yupo kidato cha 4... afu anafatiwa na mimi kidume sharbiny rashidy mwenye umri wa miaka 20 na yupo kidato cha 3.... familia yetu ilikua ni familia ya kitajiri sana yaani tulikua ni matajiri waliopindukia.... Ila katika watoto wote wa mzee rashidy mimi peke yangu ndio nilikua nina rangi tofauti na dada zangu wote. Ila nyumba yetu imezungukwa na wafanyakazi wengi mno. kama kwa raisi vile kumbe ni kwa mtu tu wa ka...

MTOTO WA HAYATI Sehemu Ya 1

MTOTO WA HAYATI Sehemu Ya 1 Mtunzi..... MoonBoy Simu No. +255714419487 WhatsApp SIMULIZI HII INAMHUSU KIJANA MMOJA AMBAE ALIISHI NA WAZAZI WAKE KATIKA MAISHA MAZURI NA YENYE FURAHA, LAKINI KADRI MAISHA YANAVYOZIDI KWENDA, NA WAZAZI WAKE NA HUPOTEZA MAISHA KAMA KAWAIDA, WAZAZI WALIACHA MALI NYINGI KWA AJILI YA MTOTO WAO HUYO MMOJA TU KAMA WA DAWA, LAKINI KUMBE NDUGU WA FAMILIA HIO HAWAKUA WAKIHITAJI UWEPO WA FAMILIA ILE IKIENDELEA KUISHI KWA FURAHA NA UPENDO, MTOTO YULE ALIZURUMIWA MALI ZILE NA NDUGU WA MAMA YAKE, YAANI BABA AU MAMA WADOGO WA UPANDE WA MAMA YAKE, MTOTO ALIISHI KWA SHIDA NA TABU KATIKA NYUMBA HIO, HUKU AKIWA KAMA MFANYAKAZI KATIKO NYUMBA HIO, NA MWISHO WA SIKU WALIAMUA KUMFUKUZA MTOTO YULE...... JE UNAJUA NINI KILIENDELEA BAADA YA KUFUKUZWA?.....  USIKOSE HATA KIPANDE KIMOJA CHA SIMULIZI HIII....  ILA KAMA UNA ROHO NYEPESI USIISOME MAANA INASIKITISHA SANA, TWENDE KAZI, NA HAPA NDIPO INAPOANZIA RASMI SIMULIZI HIII Ikiwa ni mwaka 1999 nikiwa mtoto mdogo mwenye umr...

DEREVA TOYO Sehemu Ya 1

DEREVA TOYO Sehemu Ya  1 Mtunzi..... MoonBoy Simu No.... +255714419487 WhatsApp Inapoanzia Rasmi..... Anza Sasa DEREVA TOYO AU KWA KINGEREZA TUNAITA ( TOYO DRIVER ) DEREVA TOYO HUYU NI KIJANA MDOGO ALIEJIAJIRI KUTOKANA NA USAFIRI HUO ( TOYO ) MBALI NA UDEREVA WA HIO TOYO... BADO ANA AJIRA YAKE YA MKONONI..... NI AJIRA YA UPIGAJI PICHA... NA HII ALIANZA NAYO KABLA YA TOYO KIJANA HUYU ALILAZIMIKA KUWA DEREVA TOYO KWA SABABU ZA KIMAISHA KUMUENDEA KOMBO... HIVYO AKAONA TOYO HUENDA IKAMPA CHAKULA CHA KILA SIKU... LAKINI TOYO HIO HIO NDIO ILIOKUA IKIMPELEKA PABAYA.... KWANI KIJANA HUYO ALIKUA NI KIJANA WA TOFAUTI SANA..,.. KWANI ALIKUA AKIIINGIZA PESA NYINGI SANA KWA NJIA YA TOYO... MPAKA MADEREVA WENZAKE WANASHANGAA NI KWANINI MWENZAO ANAPATA PESA NYINGI KIASI HIKI..... KWASABABU SEHEMU AMBAYO AKIMPELEKA MTEJA WAKE ALIPASWA ALIPWE 3000 AU 2000 LAKINI ANALIPWA 10000 ( ELFU KUMI ) MPAKA WENZAKE WAKAJENGA WIVU JUU YAKE NA KUMTIMUA KIJIWENI KWAO..... LAKINI SWALI LINAKUJA HIVI..... JE? NI K...

MLINZI WA GETI Sehemu Ya 1

MLINZI WA GETI Sehemu Ya 1 Mtunzi.... MoonBoy Simu No... +255714419487 WhatsApp Ilikua ni saa 5 asubu tarehe 11/2/1995 nikiwa bado ni mtoto mdogo nisiojua hili wala lile, Nilikua na umri uiozidi miaka mitatu hivi, na siku hio nilikua natoka shuleni yaani Nursary school ( shule za awali) ( vidudu ) Siku hio nilikua na hasira sana maana mwalimu aliniadhibu kwa kukosa somo lake. Sasa nikiwa njiani narudi nyumbani nilikutana na gari ya baba angu tena akiwa spidi sana. Nami siku hio nilikua na kabaiskeli kadogo ( vile vya kitoto ) nilishtukia breki ikishikwa mbele yangu "twende haraka" aliniambia kwa sauti kubwa tena kwa kuyatoa macho kwa kuonyesha siku hio hayupo vizuri kuliko siku zote. "kwani kuna nini baba?" "pumbavu panda gari twende" Sikua na chaguo lolote lile Lakini cha kushangaza nilimkuta mama akiwa analia tena anaonekana kua na hasira isio ya kawaida. "shkamoo mama?" alipangusa machozi haraka na kuniitikia salamu yangu "malahaba ujambo...

KIJAKAZI WA KIUME Sehemu Ya 1

KIJAKAZI WA KIUME 1 sehemu ya 1 MTUNZI: MoonBoy SIMU +255714419487 whatsapp KIJAKAZI WA KIUME ni kijana mmoja aishie MANYARA WILAYA YA KITETO VIJIJINI HUKO KATIKA MTAA UNAOITWA KIBAYA. kijana huyo aitwae SHARBINY au unaweza kumuita SHEBY yaani ni nusu ya jina lake. kijana sheby ni kijana mpole mwenye heshma na adabu na kumueshim kila mtu alie mbele yake. lakini kija huyo alikua akiishi maisha magumu mno tena magumu zaidi ya magumu. kijana sheby alitamani kusoma hadi vitabu vimkimbie  lakini kutokana na maisha alionayo basi aliweza kuishia DARASA LA SABA. kijana sheby ni kijana ambae hana wazazi  yaani ni yatima na wazazi wake walifariki toka yeye akiwa mtoto mdogo sana. kwaio hajui hata sura za wazazi wake zikoje. kijana sheby alitamani hata kujua wazazi wake waliuwawa na nini lakini atamuuliza nani na kijana huyu alikua akiishi na bibi ake wa upande wa baba. na kila anapomuuliza kuhusu swala la wazazi wake  bibi yeye anasema hajui na wala hawajui tena maana ni muda sasa....

JAMANI ANKO Sehemu Ya 1

JAMANI ANKO Sehemu Ya 1 MTUNZI: George Iron Mosenya SIMU:0655727325 Nilitamani muda wa vipindi darasani umalizike ili iweze kutimiza ahadi niliyokuwa naisubiri kwa siku nyingi. Mwalimu alikuwa akifundisha lakini ni kama nilikuwa sielewi wala sisikii alichokuwa anaelezea. Mawazo yangu yote yalikuwa kwa Madam Jesca. Siku hiyo nilijisemea kuwa iwe isiwe lazima nimweleze ukweli na ikibidi siku hiyo hiyo yatimie ninayoyawaza kila kukicha. Madam Jesca alikuwa ni mwalimu aliyekuwa akitufundisha kwa muda tu baada ya kuwa amemaliza kidato cha sita. Wakati huo sisi tulikuwa kidato cha nne. Somo alilokuwa akitufundisha ni Kiswahili. Hatimaye mwalimu akatoka na baada ya nusu saa nikaondoka kuelekea nyumbani kwa madam Jesca. Niliingia baada ya kuwa nimegonga hodi. “We Joshua mbona muda wa vipindi hivi we umekuja huku..” aliniuliza huku macho yake yakionyesha mshangao wa waziwazi. Kanga yake aliyovaa ilikuwa imelowana na hivyo kusababisha niuone mstari wa chupi. Na kama hiyo haitoshi madam Jesca...