Skip to main content

Nguo Za tAfBoy




IMG_20170227_110336_350

IMG_20170226_132232

tAfBoy, meaning Tanzania's Frugal Boy

         Logo hio kwa Kiswahili inamaanisha
KIJANA BAHILI, au MTANZANIA BAHILI

Sababu ya kuweka neno (BOY) ni kwasababu, maendeleo mengi hufia
Ujanani, Endapo kijana utakuwa bahili
Katika ujana wako, hakika maendeleo 
Ni lazima kuyaona.... Lakini wengi wetu
Tumetekwa na starehe nyingi za kidunia. 
Na ndio mana hatuishi kulalama ugumu wa maisha na wakati sisi wenyewe ndio tunao usababisha... Hebu jaribu kuacha yale matumizi yasio ya lazima, mfano kwenye starehe aina yeyote ile itakayoweza kutumia pesa ACHA,..  Na usipo fanikiwa basi kuna mkono wa mtu

SASA HIZI NDIO TISHETI ZENYE KUHAMASISHA UBAHILI KWA VIJANA ILI KUYAFIKIA MALENGO YAO... KAMA UNAHITAJI KOFIA AU TISHETI...  PIGA SIMU NAMBA +255714419487 AU NJOO WhatsApp KWA MAELEZO YA KUPATA TISHETI AU KOFIA, KWA BEI NAFUU

JICHAGULIE RANGI UNAYOIPENDA HAPA,........UNATUMIWA ULIPO
IMG_20170227_110658_155

IMG_20170227_110715_942
IMG_20170629_040415


IMG_20170227_110748_520

IMG_20170227_110800_605

IMG_20170227_110814_417
IMG_20170703_171045


IMG_20170227_110830_443
IMG_20170708_111538_892






IMG_20170227_110844_371

IMG_20170227_111008_600




IMG_20170227_110915_027
IMG_20170501_131330


IMG_20170226_132113


IMG_20170226_132232
IMG_20170708_111143_640



IMG_20170226_125821




IMG_20170227_110430_956
IMG_20170227_125101


IMG_20170227_110411_286

IMG_20170227_110523_358
IMG_20170629_035826


IMG_20170227_110540_508

IMG_20170227_110554_998
IMG_20170703_211505


IMG_20170227_110626_338

IMG_20170227_110643_822
IMG_20170629_041723







Comments

Popular posts from this blog

JAMANI ANKO Sehemu Ya 1

JAMANI ANKO Sehemu Ya 1 MTUNZI: George Iron Mosenya SIMU:0655727325 Nilitamani muda wa vipindi darasani umalizike ili iweze kutimiza ahadi niliyokuwa naisubiri kwa siku nyingi. Mwalimu alikuwa akifundisha lakini ni kama nilikuwa sielewi wala sisikii alichokuwa anaelezea. Mawazo yangu yote yalikuwa kwa Madam Jesca. Siku hiyo nilijisemea kuwa iwe isiwe lazima nimweleze ukweli na ikibidi siku hiyo hiyo yatimie ninayoyawaza kila kukicha. Madam Jesca alikuwa ni mwalimu aliyekuwa akitufundisha kwa muda tu baada ya kuwa amemaliza kidato cha sita. Wakati huo sisi tulikuwa kidato cha nne. Somo alilokuwa akitufundisha ni Kiswahili. Hatimaye mwalimu akatoka na baada ya nusu saa nikaondoka kuelekea nyumbani kwa madam Jesca. Niliingia baada ya kuwa nimegonga hodi. “We Joshua mbona muda wa vipindi hivi we umekuja huku..” aliniuliza huku macho yake yakionyesha mshangao wa waziwazi. Kanga yake aliyovaa ilikuwa imelowana na hivyo kusababisha niuone mstari wa chupi. Na kama hiyo haitoshi madam Jesca...

MUUZA CHIPSI Sehemu Ya 1

MUUZA CHIPSI (MKE WA KAKA) Sehemu Ya 1 Mtunzi..... MoonBoy Simu No. +255714419487 WhatsApp www.facebook.com/Chombezo-Media-571095712946246/ INAPOANZIA RASMIIII Jamani Simulizi hii, sio moja, bali zipo simulizi mbili ndani ya moja... Kuna simulizi yangu moja iliitwa MKE WA KAKA hio simulizi inaendana na simulizi hii ya MUUZA CHIPSI, hivyo sikutaka simulizi zangu ziwe zinajirudia, hivyo nimeiweka sehemu moja zote mbili, mana stori za simulizi hizi zinaenda.. Hivyo ukisoma jua kua unasoma simulizi mbili ndani ya moja... Ila simulizi halisi ni MUUZA CHIPSI ikifuatiwa na MKE WA KAKA ambayo nayo ipo humu humu ndani,.   Na utaijua hapo itakapoanzia rasmi lakini mwanzo wa zote ndio, lakini pia MKE WA KAKA ina mwanzo wake huko mbele, hivyo nayo inaanzia hapa hapa....... Sasa ole wako uikose staki maswali mengi mana umekosa uhondo mwenyewe... Hivyo msije mkashangaa mke wa kaka kawa MUUZA CHIPSI.... ______________________________________ MUUZA CHIPSI Ni simulizi inay...

SECONDARY SCHOOL Sehemu Ya 1

SECONDARY SCHOOL Sehemu Ya 1 Mtunzi..... MoonBoy Simu No. +255714419487 WhatsApp Inapoanzia Rasmiiii STORY HII INAITWA SECONDARY SCHOOL AU KWA KISWAHILI NI ( SHULE YA UPILI )..... KWAHIO PIA WAWEZA KUIITA HIVYO TU BASI Story hiii mimi ni mtoto wa kitajiri ile mbaya... na wakiume nipo mimi mwenyewe na nina dada zangu wawili wenye asili ya kiarabu. kwani mama yangu yeye pia ana asili ya kiarabu..... Ninae dada yangu ambae ana umri wa miaka 25 huyo ni wa kwanza na keshamaliza shule muda tu... kisha ninae dada yangu mwingine ambae tumefuatana.. yeye ana umri wa miaka 22 na yeye bado yupo kidato cha 4... afu anafatiwa na mimi kidume sharbiny rashidy mwenye umri wa miaka 20 na yupo kidato cha 3.... familia yetu ilikua ni familia ya kitajiri sana yaani tulikua ni matajiri waliopindukia.... Ila katika watoto wote wa mzee rashidy mimi peke yangu ndio nilikua nina rangi tofauti na dada zangu wote. Ila nyumba yetu imezungukwa na wafanyakazi wengi mno. kama kwa raisi vile kumbe ni kwa mtu tu wa ka...